Followers

logo logo

SLIDE

[10] [recent] [slider-top-big] [HABARI KALI ZA WIKI]
[4] [NEWZ] [slider-top] [Habari]
You are here: Home / DIAMOND ATOA YA MOYONI KWA MZEE KIKWETE

DIAMOND ATOA YA MOYONI KWA MZEE KIKWETE

| No comment
Image result for DIAMOND NA KIKWETE

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameamua kueleza hisia zake kupitia salamu za kumtakia kheri Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.


Diamond kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa, kwa sasa Wasanii wa muziki wamem-miss sana Mzee Kikwete kwani uongozi wa sasa umewazuia hata kutumbuiza kwenye kampeni.

BONGO FLAVA GODFATHER…WE LOVE & MISSING YOU 😪😭😭😓😭. Vijana wako leo tumeambiwa hatuna tena umuhimu, hatutakiwi tena kwenye Kampeni. Hatuna tena thamani what can we say? sawa tunashukuru, ila tumeumia,“ameandika Diamond Platnumz.