Followers

logo logo

SLIDE

[10] [recent] [slider-top-big] [HABARI KALI ZA WIKI]
[4] [NEWZ] [slider-top] [Habari]
You are here: Home / WIZKID AHAIDI KUJENGA SHULE KUTOKANA NA FEDHA ATAKAZOINGIZA KUTOKANA NA DILI LAKE NA NIKE

WIZKID AHAIDI KUJENGA SHULE KUTOKANA NA FEDHA ATAKAZOINGIZA KUTOKANA NA DILI LAKE NA NIKE

| No comment
Image result for wizkid

                                                      Msanii Wizkid

Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Wizkid ameahidi kujenga shule jijini Lagos nchini humo kwa kutumia fedha atakazoingiza kupitia dili lake jipya na kampuniya mavazi ya Nike.

Wizkid amethibitisha taarifa hizo kupitia ukurasa wake wa Twitter kwa kuandika “Kwa faida ndogo nitakayoipata kupitia ubia wangu wa  kibiashara na Nike nitajenga shule nyumbani Lagos”.






Wizkid aliingia makubaliano ya kibiashara kupitia brand yake ya StarBoy na kampuni ya Nike ambayo inajihusisha na utengenezaji wa vifaa vya michezo mwanzoni mwa mwezi Februari mwaka huu.