Followers

logo logo

SLIDE

[10] [recent] [slider-top-big] [HABARI KALI ZA WIKI]
[4] [NEWZ] [slider-top] [Habari]
You are here: Home / DRAKE AELEZA SABABU YA KUAHIRISHWA SHOW YAKE YA MIAMI NA KUTAJA TAREHE MPYA

DRAKE AELEZA SABABU YA KUAHIRISHWA SHOW YAKE YA MIAMI NA KUTAJA TAREHE MPYA

| No comment
Image result for DRAKE

Mwishoni mwa wiki hii siku ya Ijumaa ilitangazwa kutokuwepo kwa show ya Drake,Migos, Aubrey pamoja na Three Amigos,Show ambayo ingefanyika Miami nchini Marekani ingawa sababu hazikuwekwa wazi zaidi,baada ya kuongea kwenye mitandao ya kijamii  American Airlines Arena na kusema sababu ziko nje ya uwezo wao.


Image result for DRAKE

Lakini mapema leo Drake ameweza kufunguka juu ya kuahirishwa show hiyo,akisema amelenga zaidi kuangalia juu ya hali hiyo ya kiafya,Drake ameamua kufunguka hayo baada ya stori nyingi kuanza kuzuka na ndipo alipoamua kutamka anajihisi mgonjwa. “Nilitaka tu kusema jinsi hali yangu ya kiafya ilivyo pia kutanguliza samahani baada ya show yangu kuahirishwa.Nilitokewa na hali hii ghafla na ni kitu ambacho sikuwahi kukiona kitu kama hichi mwanzoni katika maisha yangu lakini tu ni kwakuwa nayapenda maisha yangu “aliandika maelezo hayo katika Instagram stori yake.


Related image

Ujumbe wa Drake kwa urefu zaidi ni huu hapa:-




Image result for DRAKE


Tarehe ya Miami sasa imehamishwa hadi Novemba 13 na 14. Halafu baada ya show  hiyo inayofuata ni ya New Orleans mnamo Septemba 24 kabla ya vichwa hivyo kutua  Dallas tarehe 26 na 27.