Followers

logo logo

SLIDE

[10] [recent] [slider-top-big] [HABARI KALI ZA WIKI]
[4] [NEWZ] [slider-top] [Habari]
You are here: Home / Obama ampigia simu Trump kumpongeza, amwalika White House

Obama ampigia simu Trump kumpongeza, amwalika White House

| No comment
Rais wa Marekani Barack Obama amempigia simu Rais mteule, Donald Trump kumpongeza kwa ushindi uchaguzi wa urais ambapo pia amemwalika ikulu ya White House mnamo Alhamisi wajadiliane kuhusu shughuli ya mpito.
obama_sotu_2016_ap_img
Obama pia amempigia Hillary Clinton na kumpongeza kutokana na alivyofanya kampeni.
Rais Obama atatoa taarifa zaidi Jumatano kutoka White House kujadili matokeo ya uchaguzi na hatua ambazo tunaweza kuchukua kama taifa kuungana tena pamoja baada ya kipindi cha uchaguzi huu uliokuwa na ushindani mkali”, katibu wa ikulu amesema kupitia taarifa.
Taarifa kamili hii hapa:


eb7f8b66-16c4-428d-8335-71c496ba10f3