Moro Kitaa Blog
Sorry, but you are looking for something that isn't here.
OLIVER MTUKUDZI SIMBA WA AFRIKA ANGURUMAE MAWINDONI
Shabiki yeyote wa muziki ukitajwa wimbo wa Wasakara amaNdakuvara pasi na shaka tunasomana vizuri lakini kama wewe ni kizazi cha .com bado hujachelewa saaaaana kwani wimbo maarufu wa Todiiama Neria sio mgeni sana masikioni mwako kwa kuwa vibao hivi vimefanywa na nguli mashuhuri nchini Zimbabwe Oliver Mtukudzi maarufu kama Tuku vikatamba sana Afrika na kupata mashabiki wengi.
Mtukudzi anatarajia kuzindua rasmi albamu yake ijulikanayo kama Eheka! Nhai Yahwe usiku wa leo akisindikizwa na wasanii kama Jah Prayzah, Tariro neGitare na Sam Dondo.
Related Posts
- Default comments
- Facebook comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
.

Popular Posts
-
Mwanamuziki na mbunge nchini Uganda, Bobi Wine amemkejeli rais Yoweri Museveni, kwa kutoa mchango wa dola 26,000 ambazo ni sawa na milioni...
-
MUUZA nyago maarufu kwenye video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sebastian amefunguka kuwa, watu wanamuona hawezi kudumu na m...