Muimbaji wa Nigeria, Reekado Bank amemjumuisha Vanessa Mdee kwenye album yake, Spotlight.
Msanii huyo aliye chini ya label ya Don Jazzy, Mavin ameandika kwenye Instagram: Thanks for your contribution on the album V!! @vanessamdee #Tanzania #EastAfrica.”
Bank huyo Jumatano hii atakuwa na listening party ya album jijini Nairobi.
Spotlight itakuwa na nyimbo kama ‘Katapot’, ‘Sugar baby’, ‘Corner’, ‘Tomorrow’, ‘Oluwa ni’ , ‘Standard’ na zingine. Itakuwa na nyimbo 18