Followers

logo logo

SLIDE

[10] [recent] [slider-top-big] [HABARI KALI ZA WIKI]
[4] [NEWZ] [slider-top] [Habari]
You are here: Home / Vanessa Mdee ajumuishwa kwenye album ya Reekado Bank ‘Spotlight’

Vanessa Mdee ajumuishwa kwenye album ya Reekado Bank ‘Spotlight’

| No comment
Muimbaji wa Nigeria, Reekado Bank amemjumuisha Vanessa Mdee kwenye album yake, Spotlight.
Vanessa
Msanii huyo aliye chini ya label ya Don Jazzy, Mavin ameandika kwenye Instagram: Thanks for your contribution on the album V!! @vanessamdee #Tanzania #EastAfrica.”
Bank huyo Jumatano hii atakuwa na listening party ya album jijini Nairobi.
Spotlight itakuwa na nyimbo kama ‘Katapot’, ‘Sugar baby’, ‘Corner’, ‘Tomorrow’, ‘Oluwa ni’ , ‘Standard’ na zingine. Itakuwa na nyimbo 18