Followers

logo logo

SLIDE

[10] [recent] [slider-top-big] [HABARI KALI ZA WIKI]
[4] [NEWZ] [slider-top] [Habari]
You are here: Home / Rais afanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa akichukua mikoba ya Rashid Othman

Rais afanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa akichukua mikoba ya Rashid Othman

| No comment

Image result for magufuli

Hakuna asiyefahamu umuhimu ya Idara nyeti ya Usalama wa Taifa kwa mustakabali wa taifa la Tanzania.

Ni wazi bila uwepo wa idara hii nchi itayumba katika suala zima la usalama wa nchi na ndio maana nchi zote duniani idara hii hupewa kipaumbele kutokana na umuhimu wake.

Image result for dr modestus kipilimba

Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemteua Dk. Modestus Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa akichukua mikoba ya Rashid Othman ambaye amestaafu.

Taarifa kutoka Ikulu inaeleza zaidi hapo chini.