Followers

logo logo

SLIDE

[10] [recent] [slider-top-big] [HABARI KALI ZA WIKI]
[4] [NEWZ] [slider-top] [Habari]
You are here: Home / Mash j : Super nyota ya Clouds fm ilinifungulia njia.

Mash j : Super nyota ya Clouds fm ilinifungulia njia.

| No comment
Image result for mash j

Hussein Mohamed Juma maarufu kwa jina la Mash J ni msanii wa hip hop mwenye makazi yake  mjini Morogoro.
Leo hii mapema kapiga story na morokitaa blog na kueleza mipango yake juu ya mziki wake,
Mash J amesema alianza muziki mwaka 2006 wakati anasoma shule ya msingi na ilipofika mwaka 2012 alifanikiwa kushiriki shindano la Super nyota la Clouds serengeti Fiesta.
Baada ya kuhitimu kidato cha nne mwaka 2014  ndipo alianza harakati za mziki rasmi, mwaka huo huo aliweza kutoa wimbo wake wa kwanza MPERAMPERA aliomshirikisha Msanii Stamina

Image result for stamina tz 

baada ya huo wimbo alikaa kimya kwa mda mrefu bila kutoa wimbo kutokana na matatizo ya kifamilia lakini ilipofika mwaka 2016 aliweza kutoa wimbo wake wa pili ulioitwa Nakopesha.
 kwa kuonesha juhudi zake za mziki mwisho wa mwezi wa wa saba aliachiaa wimbo wake wa tatu TAARIFA aliomshirikisha Msanii Gnako   kutoka kundi la Weusi.

Image result for mash j

Mash J amesema Mashabiki zake wakae mkao wa kula kwani soon ataachia kazi mpya na amesisitiza kwa wale wanaopenda kuwa naye karibu wa mfaate instagram @mash_jay na fb @mash j wa mpera mpera  .