Moro Kitaa Blog
Sorry, but you are looking for something that isn't here.
JINA LA UKUTA LAZUA BALAA CHADEMA.
Wakati ukitafakari hilo, hoja ya msingi ni kwamba neno umoja linatokana na ushirikiano wa pamoja na kutoka pande mbili au zaidi zenye mawazo na mitazamo sawa, kwa hiyo kwa mujibu wa Kiongozi Mkuu wa ACT- Wazalendo Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake wa Facebook amehoji unawezaje kuuita Umoja wakati hakuna chama kingine cha upinzani kilichoshiriki mkutano na vikao vya maazimio? na kwamba neno Umoja limetimuka kimakosa.
Hata hivyo watu wa kada mbalimbali wametoa maoni yao wakiwataka Chadema kusitisha azimio hilo la kufanya maandamano na mikutano nchi nzima kama walivyotangaza kutokana na athari zitakazojitokeza kutokana na nguvu ya polisi itakayotumika kuwazuia.
Related Posts
- Default comments
- Facebook comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
.

Popular Posts
-
Mwanamuziki na mbunge nchini Uganda, Bobi Wine amemkejeli rais Yoweri Museveni, kwa kutoa mchango wa dola 26,000 ambazo ni sawa na milioni...
-
MUUZA nyago maarufu kwenye video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sebastian amefunguka kuwa, watu wanamuona hawezi kudumu na m...