Moro Kitaa Blog
Sorry, but you are looking for something that isn't here.
TIJA YA MASHINDANO YA AIRTEL RAISING STAR KWA VIJANA.
Michezo ina nafasi kubwa sana kwenye maisha ya binadamu hata katika haki za mtoto suala la haki ya kucheza limetambuliwa, na hii ni kutokana na umuhimu wake wa kiafya na kiakili, ndio maana wadau mbalimbali wamekuwa wakisisitiza suala la michezo kwa kukuza vipaji vya vijana.
Airtel Raising Star ni moja ya fursa ya
kukuza vipaji kwa vijana wa Tanzania, ambapo kwa mwaka huu wamezindua
msimu mwingine wa mashindano hayo, akizungumza katika uzinduzi huo Rais
wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Jamal Malinzi amewataka
vijana kuitumia fursa hiyo ipasavyo kwani ndiyo njia ya wao kutimiza
malengo yao, huku akimtolea mfano kijana Mbwana Samatta anae kipiga
katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji ambapo amejizolea umaarufu na
kuishi maisha mazuri kupitia mpira wa miguu.
Related Posts
- Default comments
- Facebook comments
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
.

Popular Posts
-
Mwanamuziki na mbunge nchini Uganda, Bobi Wine amemkejeli rais Yoweri Museveni, kwa kutoa mchango wa dola 26,000 ambazo ni sawa na milioni...
-
MUUZA nyago maarufu kwenye video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sebastian amefunguka kuwa, watu wanamuona hawezi kudumu na m...