Ndii ni Mwanafunzi wa UDOM anayesomea (Computer Science) pia ana kipaji cha kuigiza na kughani mashahiri matamu!! Muda mrefu sana amekuwa akimkubali na kumpenda mwana Dada Lulu Elizabeth Michael hata jamii inayomzunguka marafiki,walimu,ndugu na familia wanafaham hilo...Amekuwa akitumia Picha za Mwana Dada Lulu kuonyesha upendo na uwepo wa Lulu karibu naye .... Kupitia Clip hii ya Video ambayo ni kweli ameonekana akipata shida toka kwa DADA yake ambaye anawakilisha Jamii ambayo huwaponda watu wanaoonyesha upendo / Kuwapenda Ma star mbalimbali kwa Kazi zao wanazozifanya ...Enjoy the Clip na Don't forget to follow him on instagram @ndii_wa_leo
Moro Kitaa Blog
Sorry, but you are looking for something that isn't here.
You are here:
Home
/
MORO KITAA TV
YULE MWANAFUNZI WA UDOM ANAYETESWA NA LULU AAMUA KUTUMA SALAM RASMI (+VIDEO)
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
.

Popular Posts
-
Mwanamuziki na mbunge nchini Uganda, Bobi Wine amemkejeli rais Yoweri Museveni, kwa kutoa mchango wa dola 26,000 ambazo ni sawa na milioni...
-
MUUZA nyago maarufu kwenye video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sebastian amefunguka kuwa, watu wanamuona hawezi kudumu na m...