Juma Nature ni miongoni mwa mastaa wenye umri mkubwa kwenye muziki wa bongofleva na bado wameendelea kutosimama kuachia kazi mpya kila wakati, mpya ya leo ya Juma Nature ni hii kamshirikisha Cannibal wa Kenya inaitwa ‘Kidaruso‘ ukishaitazama pia usiache kutoa comment yako ili akipita ajue mashabiki wake wanasemaje.
Moro Kitaa Blog
Sorry, but you are looking for something that isn't here.
You are here:
Home
/
VideoMPYA: Juma Nature katoa video mpya inaitwa ‘Kidaruso’ humo ndani kaonekana Miss Tanzania 2014/2015
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
.
Popular Posts
-
Tofauti na watu wengi wanavyodhani, kizunguzungu huwa ni ishara ya tahadhari inayotolewa na mwili kuwa kuna kitu hakiko sawa, hivyo uchung...