Followers

logo logo

SLIDE

[10] [recent] [slider-top-big] [HABARI KALI ZA WIKI]
[4] [NEWZ] [slider-top] [Habari]
You are here: Home / Kwa mara ya kwanza Feb 13 Mbwana Samatta ataonekana akicheza mechi uwanja huu Ubelgiji (+Pichaz)

Kwa mara ya kwanza Feb 13 Mbwana Samatta ataonekana akicheza mechi uwanja huu Ubelgiji (+Pichaz)

| No comment

MICHEZO



Bado furaha ya watanzania kumuona Mbwana Samatta akicheza soka Ulaya ipo moyoni mwao, baada ya kumuona kwa mara ya kwanza akiichezea klabu yake ya KRC Genkkwa dakika 17 February 6 katika mchezo dhidi ya Mouscron FC, huku mchezo ukimalizika kwaKRC Genk kuibuka na ushindi wa goli    

Klabu ya KRC Genk inarudi jijini Genk kucheza mchezo wakewa Ligi katika uwanja wake wa nyumbani Cristal ArenaJumamosi ya February 13 kucheza mechi yao 26 ya Ligi dhidi yaBeveren W iliyopo nafasi ya 13 katika Ligi ikiwa na point 26 wakati KRC Genk ya Samatta ipo nafasi ya 5 ikiwa na point 38

By Rich Boi
on February 10, 2016