Followers

logo logo

SLIDE

[10] [recent] [slider-top-big] [HABARI KALI ZA WIKI]
[4] [NEWZ] [slider-top] [Habari]
You are here: Home / MCHEKESHAJI NGULI WA KUNDI LA ORIĢINAL COMEDY AJIUNGA NA Efm

MCHEKESHAJI NGULI WA KUNDI LA ORIĢINAL COMEDY AJIUNGA NA Efm

| No comment
Mchekeshaji maarufu wa Orijino Comedy Silvester Mjuni alimaarufu kama MPOKI,  amejiunga na team ya EFM Radio na kuwa mmoja wa watangazaji wa kipindi cha UBAONI kinachoongozwa na Gardner G. Habash kwa kushirikiana na bikira wa kisukuma (Seth) kinacho kuwa hewani kila siku kuanzia saa 9:00 alasiri hadi saa 1:00 jioni. Kushoto Mkurugenzi wa Efm Radio Francis Ciza akimkaribisha MPOKI kuungana na team ya EFM Radio.