Followers

logo logo

SLIDE

[10] [recent] [slider-top-big] [HABARI KALI ZA WIKI]
[4] [NEWZ] [slider-top] [Habari]
You are here: Home / JAY Z NA BEYONCE WASHEREKEA MIAKA MITANO YA NDOA NCHINI CUBA

JAY Z NA BEYONCE WASHEREKEA MIAKA MITANO YA NDOA NCHINI CUBA

Jay-Z na Beyonce wameamua kudondoka Cuba kusherehekea miaka yao 5 tangu walipofunga ndoa yao.
katika kusherehekea miaka hiyo 5 inasemekana Jay na Bey wamesafiri na familia yao wiki hii kuelekea Havana kwenye sherehe hiyo muhim

Rap-up.com wameripoti kuwa wawili hao wameungana na mama zao wote wawili
 (Tina Knowles and Gloria Carter) kwenye safari hiyo na kutembelea sehem mbali mbali katika mji huo wa kihistoria ikiwa  ni pamoja na Colonial Old Havana


 Beyonce na Jay-Z walioana kisiri siri april 4 2008, kwenye sherehe zilizofanyika kwenye apartment ya Jay Z iliyoki New York, wageni waalikwa wakiwemo Chris Martin, Kelly Rowland, Gwyneth Paltrow, na Michelle William
source; djfetty.